Skip to main content
Skip to main content

Kongamano la wakaguzi wa fedha laendelea Mombasa

  • | Citizen TV
    131 views
    Duration: 7:11
    Kongamano la wakaguzi wa fedha limeingia siku yake ya pili hii leo. Zaidi ya wajumbe 400 wanakongamana mjini Mombasa kujadili mikakati ya kukabiliana na ufisadi, utumizi wa teknologia na mbinu za kuboresha taaluma hiyo ili kupunguza ufujaji wa fedha za umma.