Skip to main content
Skip to main content

KPL: Peter Okidi atimuliwa, Ingwe kuchuana na Naibos kesho

  • | Citizen TV
    164 views
    Duration: 1:00
    Timu ya Shabana fc imemtimua kocha Peter Okidi siku mbili tu baada ya kupoteza mechi yao ya pili mfululizo kwenye ligi kuu nchii. Okidi ni kocha wa pili kufutwa kazi baada ya Ulinzi stars pia kumtimua Stephen Ocholla hapojana baada ya matokeo mabaya.