- 395 viewsMaoni mbalimbali yaibuka baada ya Janusz Walus aliyemuua mwananchi wa Afrika Kusini, ambaye alikuwa kiongozi wa vuguvugu la kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo, Chris Hani. Walus alikuwa ametumikia tayari takriban miaka 30 ya kifungo chake cha maisha na hivi leo ameachiliwa huru kwa masharti magumu. Wananchi wamejitokeza kupinga uamuzi huo wa mahakama na kumeibua madai ya kukosekana usawa. Endelea kusikiliza ripoti kamili... - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kuachiwa kwa aliyemuua Chris Hani kwaibua madai ya ukosefu wa usawa
- 8 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has said the government is enhancing partnerships with global technology companies to create more job opportunities for the youth.
- 8 Jul 2025 - The government has launched a fresh crackdown targeting foreign nationals from Burundi, Rwanda, the Democratic Republic of Congo (DRC), and Uganda’s Wagisu community residing in West Pokot County, over suspected involvement in cannibalism and human organ…
- 8 Jul 2025 - 36 suspects were arraigned on Tuesday at the Eldoret law court with charges of being in possession of weapons in public contrary to section 88 of the penal code.
- - DPP approves terrorism charges against Kawanjiru, Thiga, 35 others over June 25 chaos
- 8 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Health, Aden Duale, has vowed to end the practice of bed-sharing among patients in public health facilities to promote quality healthcare across the country.
- 8 Jul 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi on Tuesday, July 8, 2025, held a closed-door meeting with Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli. The meeting, which took place at Mudavadi’s office, focused on key national…
- 8 Jul 2025 - A sombre mood engulfed Ndumberi village in Kiambu County on Monday, July 7, after it emerged that 12-year-old
- 8 Jul 2025 - Kenya Simbas overcame a determined Uganda Rugby Cranes side with a 32-24 victory in the Rugby Africa Cup quarterfinals, booking their spot in the semifinals of the continental tournament. The fierce East African derby lived up to expectations as both…
- 8 Jul 2025 - Despite no means of autism detection during pregnancy, the signs can be observed in a child after birth
- 8 Jul 2025 - The suspects also face additional counts of arson and malicious damage to property.