- 395 viewsMaoni mbalimbali yaibuka baada ya Janusz Walus aliyemuua mwananchi wa Afrika Kusini, ambaye alikuwa kiongozi wa vuguvugu la kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo, Chris Hani. Walus alikuwa ametumikia tayari takriban miaka 30 ya kifungo chake cha maisha na hivi leo ameachiliwa huru kwa masharti magumu. Wananchi wamejitokeza kupinga uamuzi huo wa mahakama na kumeibua madai ya kukosekana usawa. Endelea kusikiliza ripoti kamili... - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kuachiwa kwa aliyemuua Chris Hani kwaibua madai ya ukosefu wa usawa
- - Honoring Gen. Ogolla ››
- » Murkomen appoints aircraft accident investigation team after General Ogolla died in helicopter crash20 Apr 2024 - Transport Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has appointed an aircraft accident investigation team following the fatal helicopter crash that killed Chief of Dence Forces General Francis Ogolla and nine other KDF soldiers.
- 20 Apr 2024 - United Democratic Alliance (UDA) members and officials in Nyanza have suspended their ongoing campaigns in light of the tragic passing of Chief of Defence Forces (CDF) Francis Ogolla.
- 20 Apr 2024 - President William Ruto is expected to preside over the Military Honours and Memorial Service of the late General Francis Ogolla. The honors will include a Church service, military parade and a 19-gun salute. The event is currently underway at the Ulinzi…
- 20 Apr 2024 - The ceremony will officially kick off some minutes to 1 pm
- 20 Apr 2024 - A man set himself on fire on Friday outside the New York courthouse where Donald Trump's historic hush-money trial was taking place as jury selection wrapped up, but officials said he did not appear to have been targeting Trump.
- 20 Apr 2024 - The gospel singer competed in season five of American Idol in 2006, finishing in ninth place.
- 20 Apr 2024 - President William Ruto, DP Gachagua, senior govt and military officials arrive for the interment of CDF Gen. Francis Ogolla.
- 20 Apr 2024 - President William Ruto, DP Gachagua, senior govt and military officials arrive for the interment of CDF Gen. Francis Ogolla.
- 20 Apr 2024 - Some 800,000 people in a Sudanese city are in "extreme and immediate danger" as worsening violence advances and threatens to "unleash bloody intercommunal strife throughout Darfur," top U.N. officials warned the Security Council on Friday.
- 20 Apr 2024 - Military prepares for first of its kind CDF burial