Skip to main content
Skip to main content

Kuhesabu kura kwaanza Uganda huku mitambo ikifeli vituoni

  • | Citizen TV
    22,053 views
    Duration: 3:24
    Zoezi la kuhesabu kura linaendelea kwa sasa katika taifa jirani la Uganda, baada ya vituo vya kupigia kura kufungwa. Uchaguzi huo umekumbwa na changamoto baada ya mitambo ya kuthibitisha wapiga kura kufeli katika vituo kadhaa vya kupigia kura. Ni hali iliyolazimu maafisa wa Tume ya Uchaguzi kutumia sajili ya wapiga kura kama njia mbadala