"Kuhusu utekaji siogopi mtu, hata makanisa yakifungwa kwa miaka 100."
Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, asema haogopi kuzungumzia utekaji nchini Tanzania.Kauli hiyo imekuja baada ya kutoa hoja kuhusu madai ya utekaji wa wanachama wa CHADEMA – Ali Kibao aliyeuawa na Mdude Nyagali ambaye hajulikani alipo kwa zaidi ya miezi tatu. Polisi wamekana kuhusika na wanasema uchunguzi unaendelea.
Aidha mbunge huyo anayemaliza muda wake wa CCM ameshauri chama tawala CCM kutoa mageuzi ya msingi ili kuwashawishi wapinzani waingie uchaguzi. Hata hivyo, Rais Samia Suluhu ambaye ni mwenyekiti wa CCM hivi karibuni alisema Gwajima haendanı na hulka na tamaduni za CCM na kuwaasa wanachama wa CCM kutorudisha ‘Magwajima’.
CHADEMA imekuwa ikipinga kufanyika kwa uchaguzi mkuu ujao, ikipendekeza mabadiliko ya kimsingi yafanywe kwanza kabla ya kufanyika kwa uchaguzi ‘huru na wa haki’.CCM kinasisitiza kuwa kampeni ya No Reforms No Election ni ya kujifurahisha, na wala haitabadilisha chochote kuhusu Uchaguzi mkuu ujao.
#uchaguzimkuu2025 #bbcswahili #ccm
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 Jul 2025
- Rex was shot during the anti-finance bill protests in 2024.
16 Jul 2025
- The plan was brought to Kenyans' attention by Ndindi Nyoro.
16 Jul 2025
- The MCK official was elected on July 16, 2025.
16 Jul 2025
- The Ministry of Health is sounding an alarm over consumable products in the market, saying that most of them do not meet the required threshold for proper nutritional content.
16 Jul 2025
- Anguish and desperate cries on Wednesday rent the air outside Thika Law Courts, where 58 suspects stood behind cell gates, agitated after a bail ruling.
16 Jul 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has secured orders to preserve a Ksh.50 million school land located in Kitale town due to contested ownership.
16 Jul 2025
- The family of James Nayo, a 37-year-old fisherman fatally shot during the Saba Saba demonstrations in Naivasha, is demanding justice following a postmortem that revealed he was shot from behind.
16 Jul 2025
- The 20th Ordinary Session of the African Ministerial Conference on the Environment (AMCEN-20) officially opened in Nairobi on Wednesday, July 16, 2025.
16 Jul 2025
- The rift between the Kenya National Police Service Commission (NPSC) and the command of the Kenya Police continues to widen, with the commission now claiming that the police are preventing it from executing its constitutionally mandated functions.
16 Jul 2025
- Persons shot may become disbaled and qualify for income tax exemption
16 Jul 2025
- The Tunnel is the second phase of multi-phased Lesotho Highlands Water Project
16 Jul 2025
- A Chief Inspector, Kiptoo Kisoroi, has told the Milimani Anti-Corruption Court that Webtribe, also known as JamboPay, Director Danson Muchemi tried to lure former Nairobi County Governor Mike Mbuvi Sonko to work with him. The JamboPay director is said…
16 Jul 2025
- A Kisumu court has on Wednesday, July 16, sentenced a mentally ill woman to serve a three-year non-custodial term with mandatory psychiatric treatment after she was found guilty of killing her six-month-old son.