Skip to main content
Skip to main content

Kukiteka kisiwa cha Kharg yaweza kuwa kitovu cha vita vipya

  • | BBC Swahili
    164,129 views
    Duration: 2:17
    Kauli ya Rais Donald Trump kuwa angependa “kuchukua mafuta ya Iran” Imeibua hofu ya kudorora zaidi kwa hali ya usalama katika ghuba ya uajemi hususan baada ya Iran kutangaza itawateketeza Lakini je, matamshi ya Trump yanaweza kuwa kitakuwa kitovu cha vita vipya au mwanzo wa mgogoro wa nishati duniani. @mariammjahid na taarifa zaidi: #bbcswahili #marekani #mafuta #foryou #iran #trump Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw