- 158 viewsKundi la nchi saba tajiri maarufu kama G7 limeweka bei ya mafuta ghafi ya Russia hatua hiyo imeanza Jumatatu (Desemba 5) wakati nchi za Magharibi zikijaribu kuibana Moscow isiwe na uwezo wa kufadhili vita yake nchini Ukraine, lakini Russia imesema haitaheshimu hatua hiyo hata kama itamaanisha kupunguza uzalishaji wa mafuta. Bei iliyowekwa, ambayo itatekelezwa na kundi la G7, Umoja wa Ulaya na Australia, inakuja kuongezea shinikizo lililoko la vikwazo vya EU kwa bidhaa zinazoingizwa za mafuta. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Kundi la G7 laanza kuibana Russia isitumie mafuta kufadhili vita vyake Ukraine
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- - NTV LIVE: April 2024 ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 24 Apr 2024 - One person was on Tuesday night apprehended following a police chase that led to the seizure of suspected marijuana valued at Ksh.37 million.
- 24 Apr 2024 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have arrested former Treasury Cabinet Secretary Ukur Yatani and Marsabit Governor Mohamud Mohamed Ali.
- 24 Apr 2024 - The Kenya Railways Corporation (KRC) on Wednesday announced the suspension of commuter train services over ongoing heavy rainfall.
- 24 Apr 2024 - Heavy rains that have continued to pound Nairobi and its environs have left a distasteful aftermath as homes and highways have been submerged for days with the Tuesday night rains exacerbating the situation.
- 24 Apr 2024 - A total of 118 people were the victim of extrajudicial killings by Kenyan police last year, local and international rights groups said in a report published on Wednesday, decrying the "impunity" still enjoyed by the security forces.
- 24 Apr 2024 - Nearly six residents of Mathare North, Nairobi County have been reported missing as houses have been marooned by floods as a result of heavy rains.
- 24 Apr 2024 - The government has begun compensating farmers who bought substandard fertiliser under the subsidy program.
- 24 Apr 2024 - Over 600 families have been displaced by floods in Kirinyaga County as heavy rains continue to pound various parts of the country.
- 24 Apr 2024 - Three years ago, Derrick Evans was taking part in the January 6, 2021, assault on the US Capitol, joining hundreds of other Donald Trump supporters who refused to accept his defeat in the presidential election.
- 24 Apr 2024 - He indicated that the project will be extended to Eldoret.