Skip to main content
Skip to main content

Kundi la madaktari wasema walitaka msaada wa Rais

  • | Citizen TV
    1,743 views
    Duration: 2:51
    Kundi la madaktari kwenye chama cha hospitali nchini wanasema walimuomba Rais William Ruto kuingilia kati mzozo wa Nairobi hospital. Madaktari hawa wakisema walitaka msaada wa Rais kwa nia safi kufuatia msukosuko uliokuwa ukishuhudiwa.