- 3,979 views
Kundi la wapiganaji wa Sudan RSF pamoja na vyama vya kisiasa 20 na asasi tofauti za kiraia nchini Sudan zimetia saini makubaliano ya kuunda muungano mpya wa kisiasa. Muungano huo wa uanzilishi wa Sudan unalenga kutoa uongozi wa taifa hilo liliokumbwa na vita dhidi ya RSF na Jeshi la Sudan SAF. Kuundwa kwa Muungano huo jijini Nairobi kunajiri wakati ambapo kumekuwa na masuali mengi kuhusu Kenya Kuunga mkono Kundi hilo la wanamgambo.
Kundi la wapiganaji wa Sudan, RSF launda muungano wa kisiasa jijini Nairobi
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Social media personality Faustine Baba Talisha, on Saturday, August 16, 2025, continued marking the fifth anniversary of his
- 17 Aug 2025 - Inside the power games behind Governor Mutai fresh ouster bid
- 17 Aug 2025 - Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
- 17 Aug 2025 - Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties
- 17 Aug 2025 - How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
- 17 Aug 2025 - Court battles bleed billions from public universities
- 17 Aug 2025 - Cheer Harambee Stars with an eye on the fly in our soup
- 17 Aug 2025 - Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance