Kuporomoka kwa daraja kuu la Baltimore, watu 20 watafutwa
Kikosi cha uokoaji na utafutaji kina endelea na zoezi la kuwatafuta watu 20 waliotoweka baada ya daraja kuu kubomoka katika mji wa Baltimore, Maryland ulioko kusini mwa Marekani
Video iliyochukuliwa kwa simu ya mkononi ilionyesha vipande kadhaa vya Daraja la Scott Key likiporomoka ndani ya maji ya Mto Patapsco baada ya meli iliyobeba mizigo yenye bendera ya Singapore inayoitwa Dali kugonga nguzo inayoshikilia daraja majira ya saa kumi na moja alfajiri (05:30 UTC) Jumanne.
Mamlaka zinasema magari kadhaa yalikuwa juu ya daraja wakati ajali hiyo ilipotokea.
Maafisa wa huduma za dharura wa Baltimore kikosi cha watafutaji na waokoaji kinaendelea kuwatafuta watu wasiopungua 20 ambao wanasadikiwa kuwa ndani ya maji.
Magari kadhaa yalianguka kwenye maji baridi na waokoaji walikuwa wakitafuta zaidi ya watu saba.
Wanasema vyombo vyao vimebaini kuna magari yaliyotumbukia mtoni.
Inaonekana Meli hiyo iligonga nguzo moja ya daraja Fransis scott key Bridge ambapo lilivunjika vipande, kulingana na picha zilibandikwa katika mtandao wa X.
Meli hiyo ilisababisha moto ulitoa moshi mweusi ulopaa hewani.
Meli hiyo inayosafiri na bendera ya Singapore na jina la Dali ilikuwa imeondoka bandarini dakika 25 zilizopita ikielekea Singapore.
Synergy Marine Corp, Wasimamizi wa meli ya Dali, wametoa taarifa wakisema meli hiyo iligonga moja ya nguzo za daraja hilo na kuwa mabaharia wake wote, wakiwemo nahodha wa meli hiyo wamesalimika na hakuna ripoti zozote za majeruhi.
Daraja hilo lenye urefu wa kilomita 2.5 lenye umri wa miaka 47 ni kiungo kikuu katika njia kuu zinazounganisha majimbo zinazo zunguka mji wa Baltimore, moja ya bandari kadhaa kubwa kabisa za Marekani.
Ilipewa jina la Francis Scott Key, mwandishi wa “The Star Spangled Banner,” shairi ambalo baadae lilitengenezwa kuwa muziki na hatimaye kuwa ni nyimbo ya taifa ya Marekani.
Key alihamasishwa kuandika shairi baada ya kushuhudia mashambulizi ya bomu yaliyofanywa na Uingereza katika ngome kuu ya jeshi la Marekani huko Baltimore mwaka 1814. - VOA NEWS, AP, Reuters
#Daraja #baltimore #kubomoka #magari #mtoni #francisscottkeybridge #marekani
27 Apr 2024
- According to Ruto, the radical revitalisation of the new monetary policy would contribute greatly to the country’s economic resurgence.
27 Apr 2024
- Mombasa has been projected to be a leading destination for tycoons in the next 10 years.
27 Apr 2024
- Controversy has surrounded UDA's first round of elections, with claims now emerging that a dead man has won in a constituency in Nairobi.
28 Apr 2024
- Sierra Leone's Energy Minister Kanja Sesay resigned on Friday over a weeks-long electricity crisis, the same day the government announced it had paid some of the tens of millions of dollars it owed to energy providers.
28 Apr 2024
- A day after the recent United Democratic Alliance (UDA) party elections, candidates who were vying for seats in the just concluded polls have expressed concerns about suspected interference with the voting process.
28 Apr 2024
- Ohio police released video of a Black man who died at a local hospital after repeatedly telling officers "I can't breathe" as they pinned him to the floor of a bar and handcuffed him, evoking memories of the killing of George Floyd in 2020.
28 Apr 2024
- Russian missiles pounded power facilities in central and western Ukraine on Saturday, increasing pressure on the ailing energy system as the country faces a shortage of air defences despite a breakthrough in U.S. military aid.
27 Apr 2024
- The death toll from floods has risen to 83 after 13 more bodies were recovered within the last day.
27 Apr 2024
- Twenty Cambodian soldiers have been killed in an ammunition explosion at an army base, Prime Minister Hun Manet said Saturday.
27 Apr 2024
- Hamas said it had received on Saturday Israel's official response to its latest cease-fire proposal and will study it before submitting its reply, the group's deputy Gaza chief said in a statement.
27 Apr 2024
- Britain's King Charles will return to public duties next week for the first time since being diagnosed with cancer as he makes good progress following treatment and a period of recuperation, Buckingham Palace said on Friday.
27 Apr 2024
- Al Ahly of Egypt will take on Esperance of Tunisia in this year’s Africa Champions League final after the two sides won their respective semifinals last night. Al Ahly, who have won five of the last seven editions and a record 11 in total, booked their…
27 Apr 2024
- Ongoing rains have proved us wrong on disaster response