- 303 views
Muungano wa makundi ya kutetea haki za binadamu, wakiongozwa na Amnesty International, tawi la Kenya, Vocal Africa na chama cha madakatari na wataalam wa meno waliandamana jijini Nairobi kudhihirisha umoja na mwanasiasa wa Uganda dkt. Kizza Besigye, ambaye yuko kuzuizini nchini Uganda ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhaini Waandamanaji hao walijumuika katika barabara ya Aga Khan Walk katikati ya jiji la Nairobi kabla ya kuelekea majengo ya bunge kuwasilisha ombi la kutaka Dkt Besigye, aachiliwe huru baada ya kukamtwa akiwa jijini Nairobi mwezi Novemba mwaka uliopita. Makundi hayo ya utetezi wa haki za raia pia yaliapa kuandamana nje ya ubalozi wa Uganda humu nchini leo alasiri ambako watawasilisha ombi la kushinikiza kuachiliwa kwake wakidai ananyanyaswa kisiasa kamba haki zake za kidemokrasia zinakiukwa. Walitoa wito kwa serikali ya Kenya na jamii ya kimataifa kuingilia kati kuishinikiza serikali ya Uganda kumwachilia Besigye.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kuzuiliwa kwa Besigye : Makundi ya kutetea haki yaandamana Nairobi
- 18 Aug 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
- 18 Aug 2025 - Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
- 18 Aug 2025 - In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
- 18 Aug 2025 - US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
- 18 Aug 2025 - Trapped in a broken system, county workers are denied treatment as insurance scams flourish unchecked.
- 18 Aug 2025 - Murang’a County Senator Joe Nyutu has revealed that it is President William Ruto who gives MPs money to
- 18 Aug 2025 - Journalist Dennis Okari has voiced concerns over the functionality of the Social Health Authority (SHA), suggesting that the
- 18 Aug 2025 - Trump said an agreement should be struck to end the 42-month-long war.
- 18 Aug 2025 - What's your body telling you in the morning?
- 18 Aug 2025 - This comes just days after President Ruto announced a high-level meeting between the party and Kenya Kwanza.