- 36 views
Jaji wa mahakama ya upeo Njoki Ndung'u ameeleza kufadhaishwa na idadi kubwa ya ndoa ambazo hazijasajiliwa humu nchini. Kwenye hotuba katika chuo kikuu cha kilimo na teknolojia cha Jomo Kenyatta, jaji Ndung'u alisema wanandoa wengi hawana ufahamu wa hitaji la kisheria la kusajili ndoa zao katika kipindi cha miezi sita. Hali kadhalika alisisitiza haja ya dharura ya sajili ya kisasa ya ndoa ambayo imesalia kwenye madaftari, ikiliganishwa na mifumo ya dijitali ya usajili wa watoto na vifo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kwa nini wakenya wengi wanaishi kwenye ndoa zisizo halali?
- 1 Jul 2025 - Critical shortfalls in global humanitarian funding now threaten millions of Sudanese refugees fleeing war to seek refuge in neighbouring countries, the UN World Food Programme (WFP) said on Monday.
- 1 Jul 2025 - Vihiga Governor Wilber Ottichillo has warned private pharmacy operators against selling drugs stolen from public health facilities. Ottichilo said he would be forced to deal with those who will be found selling stolen drugs decisively and firmly. “I…
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - Wiper Democratic Movement leader Kalonzo Musyoka has proposed that neutral arbitrators be appointed to aid in the negotiations between the government and Gen Z. Kalonzo said having non-partisan mediators will help address the issues with a lot of…
- 1 Jul 2025 - State urges parents, elders to guide youth away from anarchy
- 1 Jul 2025 - Monetising data: Africa should not be left behind
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Measles, typhoid outbreaks spur vaccination drive