'Kwake Kelvin Tuliona Mustakbali wa Riadha Kenya' – Rais Ruto
Rais wa Kenya William Ruto alikuwa kati ya maelfu ya waombolezaji waliokwenda kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa anashikilia rekodi ya ulimwengu ya mbio ndefu, Kelvin Kiptum siku ya Ijumaa (Februari 23).
Kipaji chake na unyenyekevu wake ulisisitizwa wakati wa ibada ya kumuaga huko katika kijiji cha Chepkorio, huko Rift Valley.
Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 24 alikuwa amekimbia katika marathon tatu tu za kimataifa, na kila moja ilikuwa mara saba zaidi kwa mwendo wake wa kasi kuwahi kurekodiwa.
Ruto aliwahimiza wanariadha waliokuwa katika maziko kuenzi kumbukumbu ya Kiptum katika mashindano yajayo ya olimpik.
“Tunawataka mfanye Paris iwe Olimpiki ya Kevin [sic] Kiptum.” - Reuters
#rais #williamruto #kenya #KelvinKiptum #voa #voaswahili #Elgeyo #Marakwet
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
27 Jul 2024
- G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
27 Jul 2024
- Attacks on Kamala Harris and Soipan Tuya highlight a global trend of undermining women's achievements through baseless accusations and cyberbullying.
27 Jul 2024
- Says his administration and the county government will partner in delivering the projects
27 Jul 2024
- The 44-year-old was found lying face down and unresponsive.
27 Jul 2024
- The teachers noted that the would be monitoring their demands from July 31.
27 Jul 2024
- Increased cases of crimes directly linked to irresponsible drinking, says commissioner.
27 Jul 2024
- Rain is expected on Saturday and on Sunday in some parts of the country.
27 Jul 2024
- Raila's allies nominated to the Cabinet will face an uphill task once they are in place.
27 Jul 2024
- Cemastea gives hands-on learning to help students excel in STEM
27 Jul 2024
- What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?