'Kwake Kelvin Tuliona Mustakbali wa Riadha Kenya' – Rais Ruto
Rais wa Kenya William Ruto alikuwa kati ya maelfu ya waombolezaji waliokwenda kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa anashikilia rekodi ya ulimwengu ya mbio ndefu, Kelvin Kiptum siku ya Ijumaa (Februari 23).
Kipaji chake na unyenyekevu wake ulisisitizwa wakati wa ibada ya kumuaga huko katika kijiji cha Chepkorio, huko Rift Valley.
Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 24 alikuwa amekimbia katika marathon tatu tu za kimataifa, na kila moja ilikuwa mara saba zaidi kwa mwendo wake wa kasi kuwahi kurekodiwa.
Ruto aliwahimiza wanariadha waliokuwa katika maziko kuenzi kumbukumbu ya Kiptum katika mashindano yajayo ya olimpik.
“Tunawataka mfanye Paris iwe Olimpiki ya Kevin [sic] Kiptum.” - Reuters
#rais #williamruto #kenya #KelvinKiptum #voa #voaswahili #Elgeyo #Marakwet
27 Apr 2024
- To honour her tenure at the station, RMS staff cut a cake this past week.
27 Apr 2024
- NEMA has mandated the use of 100 per cent biodegradable bin bags for organic waste collection starting July 8, 2024.
27 Apr 2024
- The depreciation of the shilling has posed a major challenge.
27 Apr 2024
- Speaking at a roundtable meeting with CRA commissioners at Nairobi’s Movenpick hotel, the governors insisted on a formula that speaks to the region’s prowess for production, insisting the three earlier formulas have greatly been designed to take away…
27 Apr 2024
- Bumula Member of Parliament Jack Wamboka claims his life is in danger after he filed a notice of motion to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi over the fertilizer scandal in the country.
27 Apr 2024
- Heavy rainfall in Kirinyaga Central and its vicinity has resulted in severe flooding, leaving several villages isolated from Kutus town and nearby areas.
27 Apr 2024
- To honour her tenure at the station, RMS staff cut a cake this past week.
27 Apr 2024
- Interventions include resettling displaced families, rebuilding washed-away bridges, repairing critical infrastructure, and providing non-food and pharmaceutical aid to affected families.
27 Apr 2024
- The businessman was carrying his wife and two other passengers
27 Apr 2024
- A committee of the National Assembly has asked the Coast Development Authority (CDA) to explain the whereabouts of a pineapple processing machine at the Hola Integrated Fruit processing Plant in Tana River County. The Departmental Committee on Regional…
27 Apr 2024
- The power cuts have disrupted hospitals and daily life for many.
27 Apr 2024
- Rigging claims, delays in delivering poll materials mar grassroots elections
27 Apr 2024
- Flooding menace exposes Kenya's perpetual cycle of mismanagement