Skip to main content
Skip to main content

Kwanini mbira wa komne la dunia una chajiwa?

  • | BBC Swahili
    12,653 views
    Duration: 56s
    Mpira mpya wa Kombe la Dunia 2026 unaoitwa 'adidas Trionda' umetengenezwa kwa teknolojia ya juu ambapo utalazimu kuwekwa kwenye Chaji kabla ya kuanza kutumika. Teknolojia hii kwenye mpira ina maana gani? David Nkya anaelezea #bbcswahili #kombeladunia2026 #WC2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw