Skip to main content
Skip to main content

Ligi ya wanaume ya voliboli inaanza kwa mechi zenye ushindani mkali Kasarani

  • | Citizen TV
    116 views
    Duration: 1:29
    Timu kumi na mbili zilijitosa ukumbini hii leo wakati ligi ya wanaume ya shirikisho la voliboli la kenya likianza tena na mechi sita kwenye ukumbi wa mazoezi wa ndani wa Kasarani. Mechi mbili za mwanzo ziliwapa mashabiki burudani tele zikiisha na matokeo sawa ya seti 3-2.