Skip to main content
Skip to main content

Likizo yageuka majonzi baada ya watoto wawili kuzama Mombasa

  • | Citizen TV
    10,877 views
    Duration: 2:44
    WATOTO WAWILI WAMEKUFA MAJI MJINI MOMBASA, KWENYE TUKIO LILILOILAZIMU FAMILIA KUKATIZA LIKIZO YAKE MJINI MOMBASA. WATOTO HAWA WA MIAKA 13 NA 9 WALIZAMA KWENYE KIDIMBI CHA KUOGELEA MTAA WA NYALI. FAMILIA YA WATOTO HAWA ILIKUWA KWENYE LIKIZO KUTOKA NAIROBI