Limuru: Polisi wakamata washukiwa wawili na kunasa bangi gunia tisa za bangi

  • | NTV Video
    428 views

    Polisi katika kituo cha polisi cha Mutarakwa eneo bunge la Limuru kaunti ya Kiambu, kwa ushirikiano na kitengo cha maafisa wa kupambana na mihadarati nchini (ANU) wamewakamata washukiwa wawili walioweka bangi kwenye magunia tisa huku kila gunia likiwa na uzani wa kilo tisini.

    Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

    Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

    gun