- 53 views
Chama cha mawakili nchini kimewasilisha kesi mahakamani kikiwashtaki kamanda wa polisi Nairobi Adamson Bungei na Inspekta Jenerali wa polisi Douglas Kanja kwa kuwatuma polisi wasiovalia sare rasmi na kuficha sura zao wakati wanaharakati walipokuwa wanawasilisha ombi katika ofisi ya rais ya harambee, LSK sasa inashinikiza mahakama kuwapata na hatia adamson bungei na inspekta jenerali wa polisi douglas kanja kwa kuwatuma maafisa wa polsii walioficha suira zao wakisema kwamba huu ni ukiukaji wa amri ya mahakama uliotelwa na jaji bahati mwamuye tarehe 14 mwezi agosti.lsk inasema kwamba haikufaa polisi kuficha sura zao na kuficha nambari zao za usajili wakati wa kuwazuia wanaharakati waliokuwa wanawasilisha ombi katika ofisi ya rais. Sasa LSK inataka inspekta wa polisi douglas kanja na kamanda polisi Adamson Bungei waaandike barua chini ya siku 14 kuomba msamahama na kukiri kwamba hawatarudia hilo la sivyo wafungwe gerezani kwa kipindi cha miezi sita . __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
LSK inataka Inpekta Jenerali na kamanda wa Nairobi Bungei waombe msamaha chini ya siku 14
- - Duniani Leo ››
- 2 Jul 2025 - The Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) in Eldoret, Uasin Gishu County has made a ground-breaking achievement in healthcare by successfully performing Kenya’s first-ever renal artery bypass surgery.
- 2 Jul 2025 - Iran-linked hackers have threatened to disclose more emails stolen from U.S. President Donald Trump's circle, after distributing a prior batch to the media ahead of the 2024 U.S. election.
- 2 Jul 2025 - Turkish police arrested more than 120 people in the opposition stronghold of Izmir on Tuesday, hours before a key rally in Istanbul, in the latest move targeting President Recep Tayyip Erdogan's opponents.
- 2 Jul 2025 - The Palestinian health ministry said Israeli fire killed two people in the occupied West Bank on Tuesday, one of them a 15-year-old boy.
- 2 Jul 2025 - In the 21st century and what seemed genius in the 80s and 90s, will be blown out of the water and exposed for what it is.
- 2 Jul 2025 - The bill has been the subject of legal debates.
- 2 Jul 2025 - The body, which had visible injuries on the right hand near the wrist and the neck, was moved to Kerugoya Referral Hospital, waiting for a postmortem.
- 2 Jul 2025 - Matiang'i served as Interior CS.
- 2 Jul 2025 - The garden is a home to thousands of coloured-straw bats.
- 2 Jul 2025 - The PS said all Kenyans deserve access to the same level of health services regardless of their political affiliation or background.