Skip to main content
Skip to main content

LSK na Mashirika ya haki yataka wanaharakati Bob na Oyoo warejeshwe nyumbani kwa matibabu ya dharura

  • | Citizen TV
    458 views
    Duration: 2:25
    Mashirika ya haki nchini yameendelea kuishinikiza serikali ya Kenya na Uganda kufanya hima kuwarejesha nyumbani wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo. Chama cha mawakili nchini LSK, mashirika ya amnesty international na vocal Africa sasa yakisema kuwa hali za kiafya za wawili hao ni mbaya na wanahitaji matibabu ya dharura