- 347 views
Maafisa 144 wa polisi wamewasili haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo kusaidia kupambana na magenge ya uhalifu na kurejesha amani. Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen aliwaaga maafisa hao ambao ni kundi la tatu kuondoka nchini baada ya vikosi viwili kutangulia haiti mwaka jana na mapema mwaka huu. Hii inawadia huku rais william ruto akijitokeza na kusema kwamba taifa la marekani litaendelea kuunga mkono juhudi za kuleta uthabiti haiti baada ya taifa hilo kutangaza kusitisha ufadhili wa kigeni.
Maafisa 144 wa polisi wamewasili Haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo
- - Duniani Leo ››
- 3 Jul 2025 - Another three of the helicopter's eight occupants survived the incident but with severe injuries and burns, said the spokesperson, Felix Kulayigye.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto, who is in a tour in the United Kingdom on Wednesday addressed a Diaspora Townhall in London.
- 3 Jul 2025 - Armed gangs have tightened their grip on Haiti's capital Port-au-Prince, UN officials warned Wednesday, saying it is possible a "total collapse" of state presence in the city could occur.
- 3 Jul 2025 - This is despite 252 total approved positions.
- 3 Jul 2025 - Miguna is infamous for his fiery character and has attracted attention over past interviews with other stations.
- 3 Jul 2025 - President Donald Trump announced Wednesday that he had struck a trade deal with Vietnam under which the country would face a minimum 20 percent tariff and open its market to US products.
- 3 Jul 2025 - Kenya, a nation celebrated for its resilience, vibrant culture, and economic potential, is grappling with a harsh reality: its government systems are failing, and they have been for some time. From healthcare to education, infrastructure to public…
- 3 Jul 2025 - "Don't wait for her," the WhatsApp caller told the family of Abeer Suleiman on May 21, hours after she vanished from the streets of the Syrian town of Safita. "She's not coming back." Abeer's...
- 3 Jul 2025 - “The moment I stopped being ‘Pogba the superstar,’ people vanished. Even my wife distanced herself—and that still breaks me.”
- 3 Jul 2025 - Wheels of justice; court stories lined up for today.