- 347 views
Maafisa 144 wa polisi wamewasili haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo kusaidia kupambana na magenge ya uhalifu na kurejesha amani. Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen aliwaaga maafisa hao ambao ni kundi la tatu kuondoka nchini baada ya vikosi viwili kutangulia haiti mwaka jana na mapema mwaka huu. Hii inawadia huku rais william ruto akijitokeza na kusema kwamba taifa la marekani litaendelea kuunga mkono juhudi za kuleta uthabiti haiti baada ya taifa hilo kutangaza kusitisha ufadhili wa kigeni.
Maafisa 144 wa polisi wamewasili Haiti kujiunga na kikosi kilichotangulia katika taifa hilo
- 18 Mar 2025 - Makueni Governor Mutula Kilonzo Jr has unveiled a County Technical Working Team to assess the effects of oil spillage in Thange Ward, Kibwezi East Constituency.
- 18 Mar 2025 - Ghana’s President John Mahama’s verified X account was hacked for 48 hours, with cybercriminals using it to promote a fraudulent cryptocurrency project, his spokesperson confirmed on Tuesday.
- 18 Mar 2025 - Continued rainfall is expected across several parts of Kenya this week, the Kenya Meteorological Department has announced.
- 18 Mar 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba on Tuesday afternoon walked out of the Senate after declining to read the prescribed apology following her month-long suspension for breaching the Parliamentary Code of Conduct.
- 18 Mar 2025 - The Senate Committee on Roads has scheduled a three-day retreat in April to assess the progress of Nairobi’s Urban Renewal Project, which spans over ten estates in the city.
- 18 Mar 2025 - The government through the Higher Education Loans Board [HELB] has disbursed Ksh.1.56B to students and trainees for tuition and upkeep.
- 18 Mar 2025 - The Eldoret High Court has issued a warrant for the arrest of Ibrahim Rotich, the main suspect in the 2021 brutal murder of former World Cross-Country Champion Agnes Tirop.
- 18 Mar 2025 - The court will rule on April 20, 2025, whether the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) will participate in the case where Thika Magistrate Stella Atambo is challenging the search warrants obtained to search her house.
- 18 Mar 2025 - Governor Waiguru says they will not withdraw the case currently before the High Court as the grandstanding continues.
- 18 Mar 2025 - There was shock at a village in Homa Bay County after a mother and her baby girl were found dead in a manner suspected to be murder and suicide that resulted from a love triangle.