- 878 viewsDuration: 2:12Maafisa wa polisi kutoka tume ya kupambana na ufisadi nchini ( EACC) wamkamata Karani mkuu wa kaunti ya Nyamira Duke Simeon Onyari kwa madai ya ibadhirifu wa fedha ya ujenzi wa ofisi ya bunge la kaunti hiyo ya kima cha ksh 30M