- 8,917 viewsDuration: 8:58Maafisa watatu wakuu wa Nairobi hospital pamoja na mkurugenzi wa zamani wa hospitali hiyo wamefikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali. Wanne hao walikamatwa siku tofauti na kuzuiliwa katika vituo tofauti vya polisi kutokana na mgogoro wa uongozi wa hospitali ya Nairobi hospital.