Skip to main content
Skip to main content

Maandamano ya mafuta yazua taharuki Nairobi, Machakos na Kirinyaga; watu 11 wakamatwa

  • | Citizen TV
    23,535 views
    Duration: 3:06
    Zaidi ya watu 11 wamekamatwa kaunti za nairobi, machakos na kirinyaga baada ya kuhusika katika maandamano ya kushinikiza serikali kupunguza bei ya mafuta. Polisi maeneo haya wakiingilia kati kutibua maandamano yaliyokuwa yamepangwa kufanykka. Uharibifu wa mali na biashara zilitatizwa kwenye maandamano haya yaliyohudhuriwa na idadi ndogo ya watu.