Skip to main content
Skip to main content

Maandamano zaidi yashuhudiwa nchini Tanzania siku moja baada ya uchaguzi mkuu

  • | Citizen TV
    18,664 views
    Duration: 1:00
    Ripoti kutoka taifa jirani la Tanzania zinaarifu kuwa, maandamano yameendelea kushuhudiwa katika miji zaidi ya taifa hilo, siku moja baada ya uchaguzi mkuu kufanyika.