Skip to main content
Skip to main content

Maaskofu wataka vitendo badala ya vitisho

  • | Citizen TV
    864 views
    Duration: 1:16
    Kanisa katoliki nchini limemtaka Rais William Ruto kuwachukulia hatua wabunge na maseneta wanaodaiwa kugeuza bunge kuwa kitovu cha ufisadi, la sivyo kauli zake za kupambana na ufisadi zitabaki kuwa maneno matupu