- 25 views
Rais William Ruto anatoa wito kwa juhudi za pamoja za kimataifa ambazo zitapanua mtaji kwa ajili ya maendeleo na hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga. Rais aliyezungumza leo katika kikao cha ufunguzi wa kongamano la umoja wa mataifa kuhusu mabadiliko ya hali ya anga la mwaka huu huko Dubai alisema kuwa hakuna nchi inapaswa kuchagua kati ya maendeleo na mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga na kwamba masuala hayo mawili yanaweza kushughulikiwa kwa pamoja.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Mabadiliko Ya Tabianchi: Rais Ruto apigia upatu juhudi za pamoja
- 27 Jul 2024 - G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
- 27 Jul 2024 - What if President Ruto wakes up and fires the CSs like he did the other day?
- 27 Jul 2024 - Residents say despite receiving valid court orders, private developers continue their activities unabated
- 27 Jul 2024 - The entities increased their spending by Sh591 million
- 27 Jul 2024 - Audit flags losses at the companies which are heavily in debt
- 27 Jul 2024 - The changes allowed state officers and their families to do business with the government.
- 27 Jul 2024 - Western Kenya and parts of Rift Valley will continue to have rains in the morning.
- 27 Jul 2024 - When news broke that the man had lost his job, staffers broke into excited dance.
- 27 Jul 2024 - Kalonzo now set to lose out on Raila's political support
- 27 Jul 2024 - Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget