- 80 views
Kampuni ya Mitchell Cotts imekanusha madai kwamba shehena ya sukari iliyonaswa na halmashauri ya bandari katika mabehewa yake mwaka jana inauzwa humu nchini. Mkurugenzi wa operesheni katika kampuni hiyo James Rarieya amesema sukari hiyo ilikuwa imeidhinishwa kuwa salama kwa matumzi iliposafirishwa kutoka Mauritius kabla ya meli iliyokuwa imebeba mabehewa hayo kupata hitilafu ilipotia nanga katika bandari ya Mombasa ambapo mabehewa 13 yalilowa maji na sukari hiyo kuharibika. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Juney Karisa shirika la kitaifa la kukadiria ubora wa bidhaa limechukua sampuli kutoka zaidi ya magunia elfu 2 kabla ya sukari hiyo kuachiliwa kwa muagizaji.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Madai ya sukari iliyoharibika kuuzwa Kenya yakanushwa
- 26 Jun 2025 - The Nyanza region experienced mixed reactions yesterday as Gen Z protesters marked the anniversary of the June 25, 2024, demonstrations that left scores killed by police during anti-government protests. Unlike previous demonstrations characterised by…
- 26 Jun 2025 - President William Ruto and ODM leader Raila Odinga shared a platform in Kilifi County, where they called for national unity. The two spoke during the funeral of Governor Gideon Mung’aro’s father, Mzee Gideon Baya Mung’aro, in Kilifi. In a message urging…
- 26 Jun 2025 - State sued over razor wire barricade and a missing blogger
- 26 Jun 2025 - Digital literacy powered Gen Z uprising, uplifted dissenting voices
- 26 Jun 2025 - Gen Z protesters paralyse Thika Road in city march
- 26 Jun 2025 - Maraga keeps his word to 'walk with Gen Z' as he builds 2027 momentum
- 26 Jun 2025 - It's yet another moment of faith as Kipyegon aims to inspire the world
- 26 Jun 2025 - Political appointees to lose board jobs in Cabinet's parastatal reforms
- 26 Jun 2025 - Property firms, telcos risk fines for locking out small internet firms from buildings
- 26 Jun 2025 - A nation pauses: Gen Zs force unofficial holiday to honour fallen protesters