Skip to main content
Skip to main content

Maelfu wa Israeli waadhimisha miaka miwili ya shambulizi la Hamas, mapigano yanaendelea Gaza

  • | Citizen TV
    6,134 views
    Duration: 2:07
    Maelfu ya raia wa Israeli walikusanyika kuadhimisha ukumbusho wa miaka miwili tangu shambulizi la Hamas katika eneo la Gaza. Mapigano kwenye ukanda huo yamesababisha vifo vya wakazi 1,200 katika kipindi cha miaka miwili. Haya ni huku Israel ikiendeleza mashambulizi dhidi Hamas, huku mazungumzo ya kuleta amani yakiendeleanchini Misri