Skip to main content
Skip to main content

Maelfu wajitokeza Kisumu, Migori na Homa Bay kumuomboleza Raila Odinga.

  • | Citizen TV
    4,130 views
    Duration: 2:42
    Maelfu ya wakazi walimiminika barabarani katika kaunti za Kisumu, Migori na Homa Bay, kumuomboleza aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga. Wakazi hao walielezea hofu ya kukosa kiongozi atakayeunganisha ukanda wa Nyanza kisiasa, na kupigania haki za kibinadamu