Skip to main content
Skip to main content

Maelfu wamiminika Karen kumuomboleza Raila Odinga baada ya taarifa za kifo chake kusambaa.

  • | Citizen TV
    14,560 views
    Duration: 4:22
    Wakenya walimiminika Nyumbani kwa marehemu kinara wa ODM Raila ODinga katika eneo la Kerarapon mtaani Karen baada ya Taarifu za kifo chake kusambaa. Maelfu ya Wakenya walipiga Kambi Nyumbani kwake kumuomboleza Raila huku wengi wakisea wamepoteza mwanga katika uongozi wa nchi na Kiongozi ambaye alitegemewa na Wengi. Viongozi mbali mbali pia walifika kuomboleza na Jamii ya Odinga