Skip to main content
Skip to main content

Maelfu ya waombolezaji kutoka Kisumu na kaunti jirani wamiminika katika uwanja wa Jomo Kenyatta

  • | Citizen TV
    1,593 views
    Duration: 2:46
    Maelfu ya waombolezaji kutoka Kisumu na kaunti jirani walimiminika katika uwanja wa Jomo Kenyatta huko Mamboleo, ili kumpa mkono wa buriani aliyekuwa waziri mkuu hayati Raila Odinga. Baadhi yao walilemewa na majonzi, wengine wakiamua kumkumbuka na kumuaga Raila Odinga kwa nyimbo za kishujaa.