Skip to main content
Skip to main content

Maelfu ya watu wamekwama barabarani baada ya barabara kufungwa

  • | Citizen TV
    21,002 views
    Duration: 1:48
    Maelfu ya watu wamekwama katika barabara mbali mbali jijini Nairobi na viunga vyake kutokana na msongamano mkubwa uliosababishwa na kufungwa kwa baadhi ya barabara za jiji la nairobi kwa minajili ya mchuano wa chan baina ya timu ya Harambee stars na ile ya Madagasca Kasarani.