Mafuriko na maporomoko ya ardhi kaskazini mwa Tanzania yaua zaidi ya watu 50
Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi kaskazini mwa Tanzania inazidi kuongezeka huku Zaidi ya watu 80 wakijeruhiwa vibaya kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika eneo la Manyara , Kwa mujibu wa serikali ya Tanzania.
Mafuriko makubwa yaliyosababishwa na El Nino yamesababisha vifo vya mamia ya watu nchini Kenya na Somalia na kuwalazimisha maelfu ya watu kuyahama makazi yao tangu mvua za msimu zilipoanza mwezi Oktoba.
Operesheni ya uokoaji inaendelea katika mkoa wa Manyara huku mamlaka ikihofia baadhi ya miili inaweza kunaswa kwenye matope, mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga aliwaambia waandishi wa habari Jumapili jioni.
Kupitia njia ya Video iliyowekwa mtandaoni wa wizara ya AFya , Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alituma salamu za rambirambi kwa familia zilizoathiriwa na kutoa idadi ya waliofariki na majeruhi ambao wanaendelea kupatiwa matibabu hospitalini huku wengine wakiruhusiwa kuondoka. Zaidi ya nyumba 100 zimeathiriwa na maporomoka hayo.
Mabadiliko ya hali ya hewa yamesababisha madhara makubwa ya hali ya hewa mara kwa mara, kulingana na wanasayansi wa hali ya hewa. - Reuters
#mafuriko #haliyahewa #vifo #Tanzania #mkoa #manyara #hanang #wilaya #voa #voaswahili
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
18 May 2024
- Details of the investigations on the accused individuals were published in Kenya Gazette.
18 May 2024
- The eight guidelines were issued a week after the reopening of schools.
18 May 2024
- COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
18 May 2024
- Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
18 May 2024
- President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
18 May 2024
- The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
18 May 2024
- The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
18 May 2024
- Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
18 May 2024
- EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
18 May 2024
- Raila made his intention clear at a rally in Suna East, Migori County.
18 May 2024
- Ichung’wah claims statements made at the event were aimed at scuttling President Ruto's development progress.
18 May 2024
- Reading Time: 2 minutes Third Way Alliance party leader Ekuru Aukot has said the security mission deployed to Haiti by Kenya is invalid. Kenya […]