Skip to main content
Skip to main content

Mafuriko yasomba mali na mimea mashambani huko Mabera kaunti ya Migori

  • | Citizen TV
    6,917 views
    Duration: 2:02
    Wakulima na wakazi wa kijiji cha Nyamigwi, katika eneo la Mabera kaunti ya Migori wamepata hasara kubwa baada ya mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo kuharibu mashamba ya mahindi pamoja na mali