- 1 views
Wanahabari wanahimizwa kutilia maanani afya yao ya kiakili, kwani changamoto za afya ya akili zinazidi kuwaathiri wale walio katika taaluma ya habari. Kikao maalum cha mafunzo kilifanyika katika Kaunti ya Busia ili kuwapa wanahabari ujuzi wa kudhibiti mfadhaiko na kiwewe mara kwa mara wanapotekeleza majukumu yao. Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Dhamira Moja yaliwaleta pamoja wanahabari wa humu nchini kwa mafunzo ya kina kuhusu kudhibiti msongo wa mawazo wanapokuwa wakifanya kazi nyanjani. Taarifa kamili ni kwenye mseto wa kaunti.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Magatuzini I Wanahabari Busia wahimizwa kutilia maanani afya yao ya kiakili
- - Duniani Leo ››
- 2 Aug 2025 - The potato is one of the world's food staples, first cultivated thousands of years ago in the Andes region of South America before spreading globally from the 16th century. But despite its importance to humankind, the evolutionary origins of the potato…
- 2 Aug 2025 - Rwanda and the Democratic Republic of Congo held the first meeting of a joint oversight committee on Thursday, taking a step toward implementing a peace deal agreed last month in Washington even as other commitments are yet to be fulfilled.
- 2 Aug 2025 - MC Fullstop had spent over three decades in the media and entertainment industry.
- 2 Aug 2025 - Two jihadist attacks in northeastern Burkina Faso early this week killed "several dozen" soldiers and civilians, two security sources and a local source told AFP on Friday.
- 2 Aug 2025 - The crash happened on Friday night.
- 2 Aug 2025 - Outrage over unexplained salary deductions following contested collective bargaining agreement.
- 2 Aug 2025 - The Tribunal further directed Keville to withdraw a YouTube takedown notice issued against Matata’s song within 48 hours, failing which YouTube must reinstate the video “in the Claimants’ favour.”
- 2 Aug 2025 - In a moment of pure drama, the journalist stepped forward and landed a hot slap on the MP’s cheek.
- 2 Aug 2025 - Kenyan woman's stove that's redefining climate action, health
- 2 Aug 2025 - Nurses strike looms over pay, broken deals