- 238 viewsDuration: 2:00Magavana wanatathmini mafanikio na changamoto za ugatuzi tangu kuasisiwa kwa katiba ya mwaka wa 2010. kwenye tathmini hiyo, magavana wanalalamikia pengo lililopo kati ya majukumu ya serikali za ugatuzi na fedha zinazofaa kuandamana na majukumu hayo.