Skip to main content
Skip to main content

Magavana wamkumbuka Raila Odinga kama shujaa wa ugatuzi na kuapa kuendeleza nyayo zake

  • | Citizen TV
    860 views
    Duration: 1:42
    Magavana pia leo wameendelea kumkumbuka Raila Odinga wakimtaja kama shujaa aliyepigania ugatuzi hadi mwisho wake. Mwenyekiti wa baraza la magavana Ahmed Abdullahi kwenye kikao na wanahabari amesema magavana wameazimia kuendelea kutoaheshima zao kwa kuheshimu kumbukumbu na nyayo zake