- 37 views
Baraza la magavana limeonya kuwa iwapo hawatapata mgao wa shilingi bilioni mia nne na hamsini, utoaji wa huduma kwa wananchi utakuwa tatizo katika kaunti mbalimbali huku madeni yakiongezeka. Kulingana na magavana ambao sasa wanalilia bunge la seneti kuwapa mgao huo, fedha nyingi zinatumiwa kulipa mishahara na marupurupu kwani kuongezeka kwa ushuru kama vile wa nyumba kunazidi kuongeza mzigo kwao wakisalia na fedha finyu kufanyia maendeleo. Macho yote sasa yanaelekezwa kwa kamati ya fedha ya seneti inayotarajiwa kutoa pendekezo la mgao kutoka kwa ushuru unaokusanywa kwa jumla nchini.
Magavana wataka serikali ingazie swala la mgao wa fedha kwa kaunti
- 6 May 2024 - The National Assembly's Transport and Infrastructure Committee has raised concerns over the rising number of damaged roads in the nation affected by the ongoing floods.
- » CDF officials, private company directors to be arraigned over embezzlement of Ksh.55.8M in Nyahururu6 May 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) is set to arraign 10 NG-DCF officials and directors of private companies from Ol Kalou over the embezzlement of Ksh.55.8 million.
- 6 May 2024 - Rice farmers in Ahero, Kisumu County are counting losses after floods swept off their paddies.
- 6 May 2024 - The stepdaughter had gone to the house to pick up a phone when the man attacked her.
- 6 May 2024 - Angry villagers protested saying the cattle dip had become a death trap.
- 6 May 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua is set to chair the Intergovernmental Budget and Economic Council (IBEC) meeting, Monday at his Official Residence in Karen. The meeting will be attended by Governors, Cabinet Secretaries and other stakeholders. More to…
- 6 May 2024 - Data shows the number of teen pregnancies dropped from 14,768 in 2020 to 9,048 in 2023.
- 6 May 2024 - Reading Time: < 1 minute Kenya women’s national 3×3 basketball team’s efforts to qualify for Olympics Paris 2024 went up in smoke, after losing three […]
- 6 May 2024 - Tory critics have called on Mr Sunak to shift the party to the right.
- 6 May 2024 - Police arrested her after receiving a tip-off.