- 1,434 views
Mahakama kuu leo inaratajiwa kutoa mwelekeo kuhusu hatma ya sheria ya fedha mwaka elfu mbili ishirini na tatu kubaini endapo utekelezwaji wake utasitishwa au la. Wiki iliyopita mahakama hiyo iliongeza muda wa kusitisha utekelezaji wa sheria hiyo ya fedha hadi kesi iliyowasilishwa na seneta wa Busia Okiya Omtata na mbunge wa Rarieda Otiende Amolo imeskizwa. Upande wa serikali umetaka mahakama hiyo kutupilia mbali maagizo ya awali kupitia wakili prof. Githu Muigai ikilalama kuwa iwapo serikali itakosa kutekeleza sheria hiyo basi Kenya itajipata katika njia panda kwani haitaweza kukusanya ushuru inayonuia kutekeleza wajibu wake. Nao waliowasilisha kesi wakiwa na malalamishi kuwa tayari serikali kupitia shirika la udhibiti wa bei za kawi Epra imepuuza maagizo ya mahakama na kutekeleza baadhi ya mapendekezo yanayogusia sekta ya mafuta na kusababisha bei hiyo kupanda mno
Mahakama kuu yatarajiwa kuamua hatma ya sheria ya fedha mwaka elfu mbili ishirini na tatu
- 12 Aug 2025 - The DP said the decision by President William Ruto remains in force and is meant to do away with past discriminatory tendencies targeting some communities.
- 12 Aug 2025 - Milimani Senior Principal Magistrate Carolyne Mugo issued the order following a request by the prosecution for three days to compile the report.
- 12 Aug 2025 - Nominated Senator Hezena Lemaletian has secured temporary court orders restraining her estranged boyfriend, Musa Hussein Lenyumpa, from harassing or contacting her in any way.
- 12 Aug 2025 - The Kenya National Highways Authority (KeNHA) has revoked a Privately Initiated Proposal (PIP) to construct the Nairobi-Mombasa (Usahihi) expressway.
- 12 Aug 2025 - The agreement was reached during the 7th Session of the Kenya–Iran Joint Commission for Cooperation (JCC) held in Nairobi, co-chaired by Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and Iran’s Minister of Agricultural Jihad, Dr. Gholamreza Nouri Ghezalcheh.
- - Ojwang murder: Court orders pre-bail report in computer fraud case against Brian Rono
- - President Ruto: Youth are Kenya’s greatest asset in shaping the nation’s future
- 12 Aug 2025 - The university has been faced with numerous financial crises.
- 12 Aug 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has recovered public land in Kakamega valued at Ksh.20 million belonging to the Ministry of Housing.
- 12 Aug 2025 - Senior Principal Magistrate Dolphina Alego dismissed the request, ruling that Khatwani had failed to present sufficient justification for the release of his travel document, which is currently held in court as part of his bail conditions in a Sh356…