- 254 views
Mahakama ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta, kesho itatoa uamuzi ikiwa ina uwezo wa kusikiza na kuamua ombi lililowasilishwa na washukiwa watano waliokamatwa kuhusiana na mauaji ya ya marehemu mbunge wa Kasipul, Charles Ong’ondo Were. Hii ni baada ya mawakili wa upande wa utetezi kupinga ukaribu pamoja na mamlaka ya mahakama hiyo katika kusikiza kesi hiyo kama ilivyowasilishwa na afisi ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma . Haya yanajiri huku huduma ya taifa ya polisi ikisema uchunguzi umebainisha bunduki iliotumiwa kumuua mbunge huyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mahakama ya JKIA kuamua iwapo itasikiliza kesi ya mauaji ya mbunge wa Kasipul
- - Duniani Leo ››
- - Pope Leo XIV ››
- 9 May 2025 - President Donald Trump's administration asked the U.S. Supreme Court on Thursday to intervene in its bid to revoke the temporary legal status granted by his predecessor Joe Biden to hundreds of thousands of Venezuelan, Cuban, Haitian and Nicaraguan…
- 9 May 2025 - KCB FC will be out to end their five-match winless run when they take on Shabana FC in a high-stakes Football Kenya Federation (FKF)-Premier League fixture set for this afternoon at the Dandora Stadium. The Bankers who fell 1-0 to Talanta FC in their…
- 9 May 2025 - President William Ruto has congratulated His Holiness Pope Leo XIV following his historic election as the 267th Pope of the Roman Catholic Church.
- 9 May 2025 - At least ten people have been confirmed dead following a fatal road accident involving a Nissan matatu and a lorry at Arimi along Njoro Elburgon Road.
- 9 May 2025 - Kenya and the United Arab Emirates (UAE) have signed seven agreements aimed at deepening bilateral cooperation between the two nations. This comes a few months after the signing of a Comprehensive Economic Partnership Agreement in Abu Dhabi, UAE, in…
- 9 May 2025 - Burnt Forest farmer ushers in a new era of post-harvest management
- 9 May 2025 - It's a shoe in: Ruto's reign will be defined by the flying missile
- 9 May 2025 - Businesses petition government over new waste management levy
- 9 May 2025 - Police reservist convicted of the murder of a teacher in 2022
- 9 May 2025 - Tributes pour in for legendary Kalenjin musician Solomon Manori