- 1,305 views
Katibu Mkuu wa Idara ya Urekebishaji Tabia na Jela Nchini Salome Beaco ameongoza hafla ya kuzindua kiwanda cha kiufundi cha kuoka Mikate pamoja na ushonaji nguo, ambacho kimejengwa na Chandaria Foundation kama njia ya kupeana kwa jamii. Kwenye hotuba iliyosomwa na jaji mkuu wa Meru kwa niaba ya jaji mkuu wa Mahakama Nchi Martha Koome, Koome amesema uzinduzi huo ni ishara ya ushirikiano kati ya serikali na taasisi za binafsi kutatua changamoto katika jamii na taifa. Kama Njia ya kupunguza mrundiko katika jela ya Meru, mahakama ya Meru imetoa amri ya kuwapunguzia kifungo wafungwa 11 Ambao wataachiliwa huru.
Mahakama ya Meru yaamrisha kuwapunguzia kifungo wafungwa 11
- - Duniani Leo ››
- 5 Jul 2025 - A double attack Friday by suspected jihadists near Niger's western border with Burkina Faso left 10 troops dead, authorities said whilst stating that 41 attackers were also killed.
- 5 Jul 2025 - Rescuers were desperately searching for at least 20 girls missing from a riverside summer camp, officials said Friday, after torrential rains caused a "catastrophic" flash flood that killed at least 24 people as it swept through south-central Texas.
- 5 Jul 2025 - A middle-aged man was on Friday sentenced to seven years in prison after pleading guilty to a drug trafficking charge.
- 5 Jul 2025 - US President Donald Trump said Friday he was "very unhappy" about his telephone call with Vladimir Putin on the war in Ukraine, saying the Russian leader just wanted to "keep killing people."
- 5 Jul 2025 - Rwandan President Paul Kagame said on Friday he was unsure whether a U.S.-brokered peace deal would hold with Democratic Republic of Congo and warned he would respond to any "tricks" from his neighbour.
- 5 Jul 2025 - There is growing debate on the legality and ethical grounding of a construction of a church in State House.
- 5 Jul 2025 - The MP was part of the opposition rally in Kitale on Friday.
- 5 Jul 2025 - The United Nations Human Rights Council on Friday rejected a bid by Eritrea to end the mandate of a U.N. expert investigating alleged abuses in the country, in a relief to Western diplomats who feared it would set a dangerous precedent for states seeking…
- 5 Jul 2025 - 'There is growing anger and frustration with Ruto's leadership.' - Rigathi Gachagua
- 5 Jul 2025 - Itumbi said it was unnecessary for Archbishop Sapit to publicly question who should provide spiritual leadership at State House.