Skip to main content
Skip to main content

Mahakama ya Michezo yasitisha mechi ya Gor Mahia dhidi ya Mara Sugar FC

  • | Citizen TV
    148 views
    Mahakama ya Migogoro ya Michezo nchini imesimamisha mechi ya Ligi Kuu ya kandanda kati ya Gor Mahia na Mara Sugar FC ambayo ilipangwa kufanyika katika Uwanja wa Raila Odinga Stadium, Homa Bay, Jumapili.