- 3,739 views
Hakimu mkuu wa mahakama ya Mombasa Alex ithuku ameagiza washukiwa wa mauwaji ya shakahola kupelekwa hospitalini kwa matibabu na kufanyiwa uchunguzi zaidi. Hii ni baada ya mhubiri Paul Mackenzie na wenzake 94 kushindwa kuhudhuria kikao cha mahakama kinachojadili hatma ya dhamana yao baada ya kuwasili mahakamani wakiwa wadhaifu. Wakili wao Wycliffe Makasembo alidai kuwawashukiwa hao wameanza tena kufunga kula na kunywa gerezani. Inadaiwa washukiwa hao hawajala kwa siku sita. Iliwalazimu maafisa wa polisi kuwasaidia washukiwa kuwatoa kwenye magari na hata hakimu kuzuru eneo walilotengewa nje baada ya kushindwa kufika kizimbani. Kesi hii itaendelea kwa njia ya mtandao tarehe tano machi.
Mahakama yaamuru mhubiri tata Mackenzie kutibiwa
- - Tribe47|| DJ Osama ››
- 28 Jun 2025 - In addition to providing a trove of information about the early universe, the James Webb Space Telescope since its 2021 launch has obtained valuable data on various already-known planets beyond our solar system, called exoplanets. Now, for the first…
- 28 Jun 2025 - How one Kisumu student's gruelling daily trek to education became the foundation for breaking gender barriers in engineering
- 28 Jun 2025 - Why principals want school fees reviewed after every three years
- 28 Jun 2025 - Raila claims opposition reached out to him to unite against Ruto
- 28 Jun 2025 - Mr President, take responsibility of Wednesday's deaths, destruction
- 28 Jun 2025 - Let Gen Zs pursue change, but not be naive to political reality
- 28 Jun 2025 - Lessons for Kenyans and police after June 25th bloody protests
- 28 Jun 2025 - Court overturns CBK ban on union fees remission
- 28 Jun 2025 - Bilali and football coach Robert Otiti directed to deposit a cash bail of Sh20,000 each.
- 28 Jun 2025 - Residents refuse to return home despite being assured by security by government.