Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yakataa kesi ya ufisadi kuondolewa na kutaka kukamatwa kwa Waziri Oparanya

  • | Citizen TV
    1,718 views
    Duration: 1:00
    Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu sasa wanataka kukamatwa kwa Waziri wa Vyama vya Ushirika Wycliffe Oparanya kufuatia uamuzi wa mahakama kuu kuwa mkurugenzi mkuu wa mashtaka alikiuka sheria kusitisha kesi dhidi yake.