- 824 views
Mahakama imekubali ombi la upande wa mashtaka kuondoa kesi ya ufisadi dhidi ya Naibu Rais Rigathi Gachagua na wengine tisa ya shilingi bilinoni saba. Hakimu Victor Wakhumile akikubali ombi hilo aliwaonya washtakiwa katika kesi hiyo kwamba wanaweza kukamatwa na kushtakiwa tena na kosa hilo. Upande wa mashtaka ulidai kwamba ushahidi uliopo katika kesi hiyo hauna msingi wowote wakiongeza kwamba bado uchunguzi unaendelea na iwapo watapata ushahidi wa kutosha basi watuhumiwa watafunguliwa mashataka upya
Mahakama yakubali ombi la DPP la kumuondolea naibu rais Gachagua kesi
- 3 Jul 2025 - Coffee farmers from 76 factories in Kirinyaga County held protests in Kerugoya town after the High Court extended a conservatory order halting the implementation of new coffee exchange fees.
- 3 Jul 2025 - Thousands of youths on Thursday stormed and torched the Mawego Police post in Rachuonyo East, Homa Bay County, while carrying the coffin of the late blogger Albert Ojwang' who is set to be buried tomorrow.
- 3 Jul 2025 - Gem MP Elisha Odhiambo has announced plans to take legal action against former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i over alleged extrajudicial killings during the Jubilee administration.
- 3 Jul 2025 - President William Ruto on Wednesday witnessed the signing of Memorandum of Understandings (MoUs) with learning institutions in the United Kingdom.
- 3 Jul 2025 - The principals did not have the required details.
- 3 Jul 2025 - The closure will last for hours.
- 3 Jul 2025 - The substantial prize money underscores commitment to supporting athletes.
- 3 Jul 2025 - On July 7, 2025, Kenya will commemorate Saba Saba Day, a significant date in the nation's history.
- 3 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged Kenyan leaders to uphold respectful and dignified politics, while condemning the opposition for allegedly promoting arrogance, insults, contempt, greed, and tribalism. Speaking in Taveta during a women…
- 3 Jul 2025 - Kindiki pledged additional allocations to boost the county's electrification and infrastructure projects.