Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yasitisha kwa muda faini za papo hapo za NTSA

  • | Citizen TV
    791 views
    Duration: 1:18
    Ni afueni Kwa madereva baada ya Mahakama Kuu kutoa amri ya muda ya kusitisha utekelezaji wa faini za papo hapo za trafiki zinazotolewa kupitia mfumo wa kielektroniki.