Skip to main content
Skip to main content

Mahakama yasitisha mnada wa mali ya Raphael Tuju, kesi itasikilizwa Aprili 7

  • | Citizen TV
    1,133 views
    Duration: 40s
    Mahakama kuu leo imesitisha kwa muda kupigwa mnada kwa mali ya waziri wa zamani Raphael Tuju iliyoko mtaa wa Karen kaunti ya Nairobi, mpaka pale kesi inayohusisha mali hiyo itakaposikizwa na kuamuliwa