Maisha karibu na mgodi wa kobalti unaomilikiwa na Wachina nchini DRC
Christophe Kabwita anaishi umbali wa mita 500 tu kutoka katika mgodi unaomilikiwa na China ukichimbwa madini ya cobalt, nyenzo muhimu kwa uchumi wa kijani.
Anasema mgodi huo wa wazi, unaharibu maisha ya watu kwa kutumia vilipuzi kulipua mwamba huo mara mbili au tatu kwa wiki.
Ving'ora vya tahadhari hupigwa wakati ulipuaji unapokaribia kuanza, kama ishara kwa kila mtu kuacha anachofanya na kujificha.
Bw.Kabwita na wanakijiji wengine wamefichua hali mbaya ya maisha yao, iliyovurugwa na milipuko na uchafuzi wa mazingira ambao wanasema unasababishwa na mgodi huo.
#bbcswahili #DRC #mgodi
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
17 May 2024
- The exits of these companies pose great financial implications for the job market.
17 May 2024
- The governor was given 7 days to issue clarity on the matter that has been greatly opposed by a section of Nairobi residents.
17 May 2024
- Driving a repaired written-off vehicle poses risks to the drivers.
17 May 2024
- A vaunted 'new era' of strategic partnership between Russian President Vladimir Putin and his counterpart Xi Jinping begun in Beijing on Thursday may not exactly have been sealed with a kiss, but it did lead to rare hugs between them.
17 May 2024
- Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
17 May 2024
- Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
17 May 2024
- The exits of these companies pose great financial implications for the job market.
17 May 2024
- He urged the people of Mt Kenya to unite and support one of their own.
17 May 2024
- The governor was given 7 days to issue clarity on the matter that has been greatly opposed by a section of Nairobi residents.
17 May 2024
- Two deaths came from fallen trees and one from a crane blown over.
17 May 2024
- "I'm with Kenyans, the Kenyans movement. We are in the streets," he said.
17 May 2024
- It was constructed and equipped at a cost of Sh1.06 billion.
17 May 2024
- Say they learned about the conference through media publications