MAISHA NA AFYA: Namba za maambukizi ya virusi vua Ukimwi zinatisha
Wiki hii katika Maisha na Afya tunaangalia ongezeko la namba za maambukizi ya virusi vya ukimwi ambapo idara ya umoja mataifa inayoshughulikia Ukimwi UNAIDS, takwimu za za HIV kote duniani zinaonyesha kuwa maambukizo yanaongezeka. tangu kuanza kwa mlipuko wa maambukizi hayo ya HIV watu millioni 84.2 wameambukizwa na ugonjwa huo. Asilimia 93 ya maambikizi mapya yako barani Afrika kusini mwa jangwa la sahara. Katika mataifa hayo ya kusini mwa jangwa la Sahara, wanawake na wasichana walichangia asli mia 63 ya maambukizo mapya ya HIV mwaka jana.
26 Sep 2023
- The efficacy of the fuel deal has been questioned as fuel prices continue to increase.
26 Sep 2023
- The groups have raised concern over Ruto's unpredictable taxation policies amid the tough economic climate.
26 Sep 2023
- Ruto's stand on geopolitical matters has been questioned by foreign affairs experts.
27 Sep 2023
- The main suspect in the murder of Nairobi Hospital Acting Finance Director Eric Maigo has been arrested.
27 Sep 2023
- The quiet that characterises the Central Rift Valley Water Works Development Agency was Tuesday disrupted.
27 Sep 2023
- Push by the government to fast track the Social Health Insurance Bill got a major boost with MPs supporting the amendments.
27 Sep 2023
- A motion to impeach Nyamira Governor Amos Nyaribo has been tabled before the Nyamira County Assembly on Tuesday.
26 Sep 2023
- Kenyans may elect the President on a separate day from other positions should a proposal by the Law Society of Kenya (LSK) get approval.
26 Sep 2023
- The office of the Controller of Budget's review of the implementation of county budgets for the year 2022/2023 shows that counties continue to surpass the set limit of expenditure on wages and benefits for their personnel.
26 Sep 2023
- Tullow Oil Company has announced the commencement of the Commercial Exploration Stage which will see Kenya extract and export high-standard crude oil for a minimum of 25 years.
26 Sep 2023
- The government is at an advanced stage of constructing 70,000 units countrywide as part of President William Ruto's Affordable Housing Project.
26 Sep 2023
- One person has been arrested and arraigned after a residential building in Roysambu's Mirema Drive collapsed on Sunday.
26 Sep 2023
- The incident happened on Monday near Kinagoni market within Samburu.