Skip to main content
Skip to main content

Maiti nne zaidi zapatikana, vifo Marakwet vyapanda hadi 32

  • | Citizen TV
    985 views
    Duration: 2:57
    Idadi ya watu waliofariki kufuatia maporomoko ya ardhi eneo la Elgeyo Marakwet sasa imefikia 32. Hii ni baada ya maiti 4 kupatikana eneo la Chesongoch na watu wengine wawili kufariki katika maporomoko mengine ya ardhi kijiji cha Kipkenda eneo bunge la Keiyo North. Miongoni mwa waliofariki na maporomoko haya ni wanafunzi 14.